Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Asalam aleykum jamiya
Nataka kuanzisha kajishughuli kadogo ka nyumba ka utengenezaji wa vipodozi vya akina dada vitumiavyo matunda na mbogamboga na visivyo na kemikali kwa utaalamu adhimu na wa kipekee nilio jifunza wakati nikiwa africa ya magharibu.
-Mafuta ya kuondoa pimples kwa haraka and face softify 7 days
-Mafuta ya kuondo michirizi ya aki mama 14 day
And so so
Natafuta zaidi lebo nzuri sana
Wasalaam
Nataka kuanzisha kajishughuli kadogo ka nyumba ka utengenezaji wa vipodozi vya akina dada vitumiavyo matunda na mbogamboga na visivyo na kemikali kwa utaalamu adhimu na wa kipekee nilio jifunza wakati nikiwa africa ya magharibu.
-Mafuta ya kuondoa pimples kwa haraka and face softify 7 days
-Mafuta ya kuondo michirizi ya aki mama 14 day
And so so
Natafuta zaidi lebo nzuri sana
Wasalaam