Naomba Mwongozo/Ushauri: Njia ya kupata Matokeo bora katika kutotolesha vifaranga kwa Mashine

Naomba Mwongozo/Ushauri: Njia ya kupata Matokeo bora katika kutotolesha vifaranga kwa Mashine

SOKETI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2010
Posts
206
Reaction score
50
Habari,

Kwa wale waliowahi kutumia mashine za kutotolesha vifaranga.
Nimejaribu zaidi ya mara tatu kutotolesha vifaranga kwa kutumia mashine lakini matokeo yamekuwa ni asilimia 25 tu ya idadi ya mayai ndio huanguliwa.
Naomba kujuzwa:
Kwa mtu anayetumia mashine kutotolesha vifaranga anapaswa kufanya nini toka anavyo tafuta mayai, kuyaweka kwenye mashine na hadi inapofikia siku ya 21 ili aweze kupata matokeo bora?

Asante
 
Kaka .... kuna vitu viwili muhimu hapa

1. Egg fertility.... uwezo wa yai kuwa na mbegu... hii inatokana na matunzo ya kuku mzazi na pia uwiano wa jogoo na majike

2. Egg Hatchability..... ubora wa yai lenye mbegu kuanguliwa..... hii ni utunzaji wa mayai yenye mbegu katika mazingira mazuri ili kweza kuhifadhi mbegu zisiharibike ikiwemo muda ambao yai halipaswi kukaa zaidi kabla ya kuanza kutamiwa
 
Back
Top Bottom