Singwa
Member
- May 26, 2011
- 65
- 25
Nimeshtakiwa mahakamani kwa na mtu ambaye nilimkopa pesa kwa makubaliano ya kurejesha na riba ya 30% mwezi wa kwanza nikamlipa riba tu. Mwezi wa pili baada ya kuona sijamlipa riba yake + hela niliyomkopa, akaamua kuja kuchukua dhamana nyumbani.
Imepita miezi 10 ameamua kunishtaki mahakamani kuwa bado ananidai. Na hatua zote kuanzia kuchukua hela hadi yeye kuchukua dhamana hakuna mahali popote tulipoandikishana.
Naomba mwongozo wa kisheria tafadhali.
Imepita miezi 10 ameamua kunishtaki mahakamani kuwa bado ananidai. Na hatua zote kuanzia kuchukua hela hadi yeye kuchukua dhamana hakuna mahali popote tulipoandikishana.
Naomba mwongozo wa kisheria tafadhali.