Kisheria hapo utamlipa kwani makubaliano ya mdomo pia ni mkataba
Kama ana mashahidi wa kudhibitisha hilo.
Ila suala la riba hakuna sheria inamruhusu mtu kukopesha kwa riba kama siyo taasisi ya kifedha, hivyo mahakama itakuamuru umlipe kile ulichokopa tu, bila riba.