Duh! Subiri mwezi m1 upite ukapime tu, na ukikutikana hauna usubiri mwezi mwengine ukapime tena.
Ivo ivo hadi uonekane uanze kutumia dawa! Umeskia mleta mada? Hahahahahaaaaaa! Just joking!
...
Ikiwa wewe ni m/me kuna uwezekano mkubwa wa kusex na ke alieathirika bila ya wewe kuupata! Ila usizoee kwenda kavu kavu na mtu usiemuamini/ambaye hamjapima pamoja!