Naomba nafas nijitolee kwenye ofisi yako

Naomba nafas nijitolee kwenye ofisi yako

Doyi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2011
Posts
1,578
Reaction score
1,894
Wadau wa jamvini heshima kwenu.Mimi naishi dar maeneo ya mwenge.Nina diploma ya computer science ila tangu nimalize sjabahatka kufanya kaz rasmi kwenye fani yangu kwa hyo naomba kuwezeshwa kupata nafasi kwenye ofsi ambayo naweza kufanya kaz ya kujitolea ili fani yangu isipotee .Lengo langu nipate uzoefu wa kaz wakat nasubiri ajira rasmi(ambayo sjajua ntaipata lini).Kwa mawasiliano nitafte kwa email huzy2006@gmail.com au namba ya simu 0717465686 na 0713986635 au ani PM.natanguliza shukuran.Naomba kuwasilisha na Mungu awabariki
 
  • Thanks
Reactions: Taz
Umespecialize katika nini hasa E.g programming, Networking au.
 
mkuu hiyo elimu haijakusaidia kufanya kazi zako mwenyewe? kwani ni lazima kuajiriwa? mkuu ni juavyo moja ya biashara ambazo mtu anaanza with zero capital ni hii ya kuuza ujuzi ulionao.

Mkuu jaribu kujiajiri na utafanikiwa tu, usipoteze muda mwingi sana kutafuta kazi, so come up with plan B
 
Mkuu komando naomba udadafue zaid mana sina mtaji.Labda unisaidie mawazo hyo plan B Ndo ipoje?
 
Mtaji wa ITspecialisp ni computer{laptop},ndicho anachomaanisha!!Nayo pia hauna??
Ebu jibu hlo la specializition on what?programming,mysql,networking...?
 
Mtaji wa ITspecialist ni computer{laptop},ndicho anachomaanisha!!Nayo pia hauna??
Ebu jibu hlo la specializition on what?programming,mysql,networking...?
 
Haya waheshmiwa nimewaelewa.Ukweli ni kuwa lapton sina na kuhusu kuspecialize almost ni kama sjaspecialize mana nimesoma networking,programming,software project management,database,internet and web development technology,datacomunication,principle of management and information system dev methodology.Oke kwa ufup tu ila kama nkipata mtu ntamwonesha transcript masomo nlosoma.Nahtaj sana kuifanyia mazoez fani ya IT. Haya naomba kukosolewa wakuu na kupata mwongozo mzuri.
 
Maana ya kusoma si ili uandikwe kazi fikiria kutatua mfano tatizo lenyewe la ajira kama msomi. Usitazamie sana kuajiriwa. Ni sawa na msichana kutazamia kuuza mwili wake. Be independent and creative. Tatfuta fedha kidogo nunua antivirus software na uuze mtaani, etc etc. Asante.
 
Vipi ulisomea wapi....hiyo computer science chuo gani.....mi nakushauri nenda chuo cha ucc.....cha mbezi beach branch hawa jamaa hutoa sana hizi nafasi nenda uonane nao kuna jamaa wangu yupo pale namfahamu anapiga field anasema jamaa wana shortage of labour
 
Sasa nyie badala mumsaidie mwenzenu mnamuliza yote hayo ya nini??? hapo kama kuna mtu ana kaofisi- mpeni msaada jamani...GET TO THE TOPIC--MSAADA WA MAHALA PA KUVOLUNTEER--HANA NDIO MAANA ANATAFUTA
nYIE HAMJUI SHIDA YA AJIRA EEEEE???
 
Sasa nyie badala mumsaidie mwenzenu mnamuliza yote hayo ya nini??? hapo kama kuna mtu ana kaofisi- mpeni msaada jamani...GET TO THE TOPIC--MSAADA WA MAHALA PA KUVOLUNTEER--HANA NDIO MAANA ANATAFUTA
nYIE HAMJUI SHIDA YA AJIRA EEEEE???
Sasa si anaulizwa alicho specialize ili apewe nafasi ya kumsaidia kuendelea ku-practice? Au we ulitaka apewe tu chochote?
 
Maana ya kusoma si ili uandikwe kazi fikiria kutatua mfano tatizo lenyewe la ajira kama msomi. Usitazamie sana kuajiriwa. Ni sawa na msichana kutazamia kuuza mwili wake. Be independent and creative. Tatfuta fedha kidogo nunua antivirus software na uuze mtaani, etc etc. Asante.

kuna watu mna ushauri kama nguvu za giza! Hiyo hela kidogo akaitafutie wapi sasa? Mpe na maujanja ya hapo. Kwenye kujiajiri watu hawaibuki tu, wengi wanatokea kwenye kuajiriwa labda kama kwenu mambo safi upewe mtaji.
@mtoa mada huna computer hayo masomo ulikuwa unasomaje?
 
Vipi ulisomea wapi....hiyo computer science chuo gani.....mi nakushauri nenda chuo cha ucc.....cha mbezi beach branch hawa jamaa hutoa sana hizi nafasi nenda uonane nao kuna jamaa wangu yupo pale namfahamu anapiga field anasema jamaa wana shortage of labour

oke kaka Mungu akubariki
 
Husninyo nimekuelewa. Komputa nlikuwa natumia desktop ya home na nikiwa chuo natumia za kwenye computer lab.After all kibongobongo unaweza usiguse komputa na ukafaulu mana ishu nying ni theory na program nying ni kukariri na kuziandika kwenye karatas.Ndo mana nataka nifanye practical sana wakuu
 
Back
Top Bottom