Sasa si anaulizwa alicho specialize ili apewe nafasi ya kumsaidia kuendelea ku-practice? Au we ulitaka apewe tu chochote?Sasa nyie badala mumsaidie mwenzenu mnamuliza yote hayo ya nini??? hapo kama kuna mtu ana kaofisi- mpeni msaada jamani...GET TO THE TOPIC--MSAADA WA MAHALA PA KUVOLUNTEER--HANA NDIO MAANA ANATAFUTA
nYIE HAMJUI SHIDA YA AJIRA EEEEE???
Maana ya kusoma si ili uandikwe kazi fikiria kutatua mfano tatizo lenyewe la ajira kama msomi. Usitazamie sana kuajiriwa. Ni sawa na msichana kutazamia kuuza mwili wake. Be independent and creative. Tatfuta fedha kidogo nunua antivirus software na uuze mtaani, etc etc. Asante.
Vipi ulisomea wapi....hiyo computer science chuo gani.....mi nakushauri nenda chuo cha ucc.....cha mbezi beach branch hawa jamaa hutoa sana hizi nafasi nenda uonane nao kuna jamaa wangu yupo pale namfahamu anapiga field anasema jamaa wana shortage of labour