Naomba nafasi za kujitolea upande Wa IT Computer Networking Installation and configuration

Naomba nafasi za kujitolea upande Wa IT Computer Networking Installation and configuration

kingphisher

Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
45
Reaction score
79
Habarini wakuu.

Nimekuwa nikija humu kuomba hizi nafasi za kujitolea upande Wa IT. wakuu natamani niwe expert Wa computers networking installation and configuration lakini bado sijapata nafasi ya kazi ya networking. Chuoni tumesoma slides na theories za kutosha, hali ambayo haijanijengea uwezo wa kujiita networker.

Ombi langu: Naomba kwa wale wennye makampuni Binafsi, au watu ambao wana projects za networking, au mtu yeyote anayeweza kunisaida kupata nafasi basi anisaidie kuwa part of their networking team.

Nataka niwe na experience ya kutosha, lakini kama mnavyojua experience inapatikana site na sio kwenye makaratasi. Naombeni wakuu.

Am not limited to comouter networking, other IT tasks pia naweza kufanya isipokuwa programming/coding/developed.

Nipo Dar Es Salaam wakuu.
 
networker??? Network specialist,network engineer etc hizo ndio terms sahihi
 
Upo sahihi kabisa hayo mambo yanataka sana utendaji zaidi, Pambania usichoke Mungu atafungua njia..
 
Amina sana mkuu. ngoja niendelee kutafuta, naamini ipo siku nitapata
Yah Maisha yanataka sana kupambana nina brother wangu yeye kwa ishu za shule hakukomaa kabisa alivyomaliza kidato cha 4 akafanya driving course, jamaa alikuwa anapenda sana kuendesha tax yani acha kabisa siyo bus au truck.

Kapiga sana deiwaka ila siku moja akapata boss muelewa akapigwa mkataba alitunza sana gari Ile yule mzee kwa kumkubali mwaka 2000 akampiganishia akaingia TPDF hadi Leo hii..

Penda unachokifanya kipambanie milango itafunguka.
 
Habarini wakuu.

Nimekuwa nikija humu kuomba hizi nafasi za kujitolea upande Wa IT. wakuu natamani niwe expert Wa computers networking installation and configuration lakini bado sijapata nafasi ya kazi ya networking. Chuoni tumesoma slides na theories za kutosha, hali ambayo haijanijengea uwezo wa kujiita networker.

Ombi langu: Naomba kwa wale wennye makampuni Binafsi, au watu ambao wana projects za networking, au mtu yeyote anayeweza kunisaida kupata nafasi basi anisaidie kuwa part of their networking team.

Nataka niwe na experience ya kutosha, lakini kama mnavyojua experience inapatikana site na sio kwenye makaratasi. Naombeni wakuu.

Am not limited to comouter networking, other IT tasks pia naweza kufanya isipokuwa programming/coding/developed.

Nipo Dar Es Salaam wakuu.

Very good course and super Marketable, utafanikiwa, mdogo mdogo keep pushing!
 
Back
Top Bottom