Naomba namba za mbunifu wa machine ya umeme wa sumaku wa Kawe Dar es Salaam

Naomba namba za mbunifu wa machine ya umeme wa sumaku wa Kawe Dar es Salaam

Rwebo

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2015
Posts
1,418
Reaction score
1,820
Kama kuna mtu humu aliye na mawasiliano ya mbunifu wa machine ya kuzalisha umeme inayotumia mfumo wa sumaku, Tafadhali anisaidie.
 
Sina ila kwasasa ashaingia mkataba na tanesco
 
Pamoja na kuingia mkataba na tanesco, ni a uhakika bado anatengeneza hizo machine na kuuza.
Itakuwa mkuu na Kama sijakosea alisema gharama ya kutengeneza moja ni million 3, like kitu kikubwa Yani huyo jamaa inabidi awe bilionare
 
Soma shule kijana.
Hiyo ni physics ya form II /III.
Ahaa haaaah. Mkuu si rahisi kama unavyofikilia. Kwa taarifa mimi nimo kwenye tasnia ya uhandisi lakini sio electrical. Nilisoma technical secondary school (Tanga). Nikaenda Dar Tech (FTC) chuo kikuu nikabahatika nikasomea Germany. Kwa hiyo unaona isivyo rahisi physics ya form one na two ikawa kigezo cha kujitengenezea machine kama ya huyo jamaa. Mpe pongezi mbunifu huyo, ameweza kilichotushinda wengi wakiwemo Tanesco wenyewe I mean wahandisi wao na Technicians wao.
 
Soma shule kijana.
Hiyo ni physics ya form II /III.
Hujaelewa chochote hpo mkuu na unasema physics ya form two cjuw[emoji16],, Iko hivii yule jamaa ametengeneza primary mover (engine) ,, wewe unaonglea electromagnetic induction ya bwana Faraday,,
Iko hivii,, Badala uchukue diesel engine au steam turbine au water falls kudrive alternator upate umeme yeye Kaunda hyo source of power, yaan hajaitumia sumaku kama media ku convert mechanical energy to electrical,, oyaa cjuw umenpata hapo au bado,, tunaweza kusema amekiuka Ile law of conservation of energy,, kamsiklize vzur YouTube utaelewa
 
Hujaelewa chochote hpo mkuu na unasema physics ya form two cjuw[emoji16],, Iko hivii yule jamaa ametengeneza primary mover (engine) ,, wewe unaonglea electromagnetic induction ya bwana Faraday,,
Iko hivii,, Badala uchukue diesel engine au steam turbine au water falls kudrive alternator upate umeme yeye Kaunda hyo source of power, yaan hajaitumia sumaku kama media ku convert mechanical energy to electrical,, oyaa cjuw umenpata hapo au bado,, tunaweza kusema amekiuka Ile law of conservation of energy,, kamsiklize vzur YouTube utaelewa
Mimi mwanasayansi, nipe link.
 
Back
Top Bottom