Naomba nielekezwe

Izo picha ndyo kusema unajiuza au?

Ukutani umetundika shati za buku buku mshamba

Huoni aibu kujianika kwa watu ?
 
Ushamba ni mzigo ipo siku utajuta wakianza kufukua makaburi
 
Humu Rafiki hawatamii picture za kweli. Humu ni siri sirini ili uwe huru kwa lolote ni vizuri utumie Akili acha kujiweka wazi hivo. Hapa sio kwa wakwe useme umekuja kutambulisha. Ndo maana humu watu wapo wazi kuliko pengine pote hii ni kwa usalama wako
 
Anadhan picha ndo zinamfanya afiti kwenye jukwaa husika teh teh
 
Kijana kama kweli wewe ndio huyo hapo ktk picha.basi huku hakukufai kaendelee tu kupanda miti mana nasikia mvua zinanyesha huko kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…