Pennsylvania
JF-Expert Member
- Sep 25, 2019
- 335
- 503
Kijiografia ni kidogo kuliko Mbudya na Bongoyo.Mzee mbona kama kama kidogo sana ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu watu huenda palawan ibiza copacabana nk
Duh!Inaoneka ni vile visiwa ambavyo vinakuwepo kwa muda wa masaa kadhaa tu ya siku. Yaani kuna muda hufunikwa na maji.
Sina hakika lkn kinaonekana ni cha design hiyo.Duh!
Sidhani kama ni kweli mkuu.
Tatizo sijajua nafikaje hapo.Sina hakika lkn kinaonekana ni cha design hiyo.
Si unakodi boti mkuu.Tatizo sijajua nafikaje hapo.
Inaoneka ni vile visiwa ambavyo vinakuwepo kwa muda wa masaa kadhaa tu ya siku. Yaani kuna muda hufunikwa na maji.
Nahitaji kwenda Mbudya au Bongoyo hii Nov... Mkuu waeza nisaidia gharama zilivyo currently na njia rahisi ya kufika huko. Ukitokea mjini/kariakooHabari wote humu,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna kisiwa kinaitwa "Fungu Yasini", Nimeona picha zake nimevutiwa nacho kukitembelea ukizingatia ku fanya "voyages" ni DNA yangu.
Nimefika Mbudya, Bongoyo, Zanzibar, Dolphin island, Prison Island, Nungwi, Chakwani, Paje.
Nisiwachoshe wakuu, ninachohitaji ni jinsi gani naweza kufika (direction).
Nimeangalia kwenye Map kipo mbali kidogo, tofauti na Mbudya na Bongoyo.
Karibuni kwa michango yenu ya jinsi ninavyoweza kufika.
Hizo chini ni picha za kisiwa cha "Fungu Yasini".
View attachment 1246990View attachment 1246991
Mbudya Nilipanda Escape two, Mbezi beach.Nahitaji kwenda Mbudya au Bongoyo hii Nov... Mkuu waeza nisaidia gharama zilivyo currently na njia rahisi ya kufika huko. Ukitokea mjini/kariakoo