ayubu waryoba
New Member
- Feb 7, 2019
- 2
- 2
Habari wapenda mimi naitaji kufungua biashara ya kuuza spea za pikipiki asa san na aujue nipo Songea ningependa mwenye uwelewa anisaidie kunipa mchanganuo wake na pia mtaji ni kama kiasi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app