Naomba nielimishwe na Vodacom

Naomba nielimishwe na Vodacom

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000.

Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima.

Bado sijaamini macho yangu. Yaani GB 10 nitumie tu kwa muda wa siku tatu badala ya siku 30. Ndugu zangu wa Vodacom kwa mtindo huu mnataka ugomvi na wateja vinginevyo wateja wengi ikiwa pamoja na mimi nitawahama kabisa.

Naombeni mnipe majibu ya kuniridhisha.
 
Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000.

Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima.

Bado sijaamini macho yangu. Yaani GB 10 nitumie tu kwa muda wa siku tatu badala ya siku 30.

Ndugu zangu wa Vodacom kwa mtindo huu mnataka ugomvi na wateja vinginevyo wateja wengi ikiwa pamoja na mimi nitawahama kabisa.

Naombeni mnipe majibu ya kuniridhisha.
 
Bundle gb 10 mzee na hii 4g hata week haiishi anyway sijajua matumizi yako
 
Mimi ni mteja mkubwa wa Vodacom nikinunua bundle ya kila mwezi ya Tshs.35000. Nilinunua bundle ya Tshs.35000 ya GB 10 tarehe 27/11/2019 leo tarehe 30/11/2019 nimepata message kuwa kifurushi changu kimeisha wakati zamani nilikuwa natumia bundle kwa mwezi mzima. Bado sijaamini macho yangu. Yaani GB 10 nitumie tu kwa muda wa siku tatu badala ya siku 30. Ndugu zangu wa Vodacom kwa mtindo huu mnataka ugomvi na wateja vinginevyo wateja wengi ikiwa pamoja na mimi nitawahama kabisa. Naombeni mnipe majibu ya kuniridhisha.
Angalia data plan kwenye simu,itakuonyesha simu imetumia GB ngapi kwa hizo siku tatu,najua wamekuibia,Kisha fungua kesi ya madai na fidia juu,
Ushahidi unao ndani ya simu
 
Voda wezi kama nini nilishatupa sim card yao
 
Back
Top Bottom