Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata Floor Tiles nzuri

Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata Floor Tiles nzuri

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,727
Reaction score
6,615
Habarini ndugu, naomba niende moja kwa moja kwenye pointi. Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata tiles nzuri za dimension zifuatazo na bei zake na iwapo kama naweza kubaliwa kulipa kidogo dogo.

1: 50x50
2: 40x40
3: 25x40

Asanteni
 
Tembelea duka la vifaa vya ujenzi ulilokaribu nalo, na ingia nao makubaliano
 
Habarini ndugu, naomba niende moja kwa moja kwenye pointi. Naomba nijuzwe ni wapi naweza pata tiles nzuri za dimension zifuatazo na bei zake na iwapo kama naweza kubaliwa kulipa kidogo dogo.

1: 50x50
2: 40x40
3: 25x40

Asanteni
50*50_40000
40*40_24000
 
Back
Top Bottom