JUNIOR GONG
Member
- Jun 29, 2014
- 60
- 28
Wakuu,
Habari za jioni? leo nimeifikiria sana ndege ya malaysia iliyopotea kusikojulikana MH370, sasa katika kusomasoma taarifa mbalimbali nimekutana na sasa sijajua kama ni kisiwa ama la inakohusishwa kuwa huenda ikawa iko huko ndomana nimekuja kwenu niweze kupata ufafanuzi zaidi mwenye maelezo ya kutosha juu ya DIEGO GARCIA anifahamishe.
Ni hilo tuu wakuu Jioni njema
Habari za jioni? leo nimeifikiria sana ndege ya malaysia iliyopotea kusikojulikana MH370, sasa katika kusomasoma taarifa mbalimbali nimekutana na sasa sijajua kama ni kisiwa ama la inakohusishwa kuwa huenda ikawa iko huko ndomana nimekuja kwenu niweze kupata ufafanuzi zaidi mwenye maelezo ya kutosha juu ya DIEGO GARCIA anifahamishe.
Ni hilo tuu wakuu Jioni njema