Naomba nisaidiwe washauri wa mambo ya biashara na uchumi, nawapata wapi?

Mimi pia kuna kipindi nilihitaji sana hii huduma esp financial adviser...nikaamua kuzama tu mwenyewe kusaka machimbo...!
 
Mimi sio mtaalam lakini kwani unafanya biashara gani mkuu? Na unekwama wapi labda? Unge share labda pengine ungepata msaada!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza kuniuliza hapa na nitajitahidi kukusaidia kadri ya uwezo wangu, ikibidi tutatafuta namna ya kukutana kwa nafasi pana zaidi, mm ni mtaalam kiasi changu na uzoefu pia kwenye uwekezaji wa Fedha(Financial Management and Investments), Biashara (hardware, transport, Microfinance n.k)
 
Kwa mtu ambaye hajawa fanya biashara ,unaweza mshauri vipi.
 
Kwa mtu ambaye hajawa fanya biashara ,unaweza mshauri vipi.
Kama anapenda kufanya biashara, atafute fursa zilizopo na rasrimali anazoweza kupata na KUANZA TU kwa namna yeyote anzia padogo ukilenga PAKUBWA hakika atafika.
 

Mkuu naomba nikuone pm pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…