chiefnyumbanitu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 906
- 426
Kwani ww hilo jinalako ni halisi?habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?
naomba msaada nifahamishwe.[emoji120]
kafanya kusudi kuanzisha thread ya majina ili na yeye watu wajiulize jina lake maana yakeKwani ww hilo jinalako ni halisi?
Aafu kwq kizazi cha sasa iyo Id yako ni matusi
We utakua una unaumwa upungufu wa kufikiri....mbona wewe hujiulizi kwa nn hujaweka jina lakohabari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?
naomba msaada nifahamishwe.[emoji120]
Alaaah.. kumbe ?kafanya kusudi kuanzisha thread ya majina ili na yeye watu wajiulize jina lake maana yake
aliowakusudia wamjue
[emoji87] [emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me jina na picha ni vyangu
Preach what you practicehabari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?
naomba msaada nifahamishwe.[emoji120]
ha ha haMe jina na picha ni vyangu
Sababu unazijua ndiyo maana hata wewe umeficha!habari za jion wana familia wa jf?
hua najiuliza humu ndani kwanini profile zilizo nyingi member hawaweki picha zao na majina harisi, najiuliza majina kama kipanya, chongo,vuvuzela mnubi, n.k sijajua haya ndio majina halisi?
naomba msaada nifahamishwe.[emoji120]
Kataka kuchekesha walio nuna huyu.Preach what you practice