Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Naomba nondo kuhusu gari aina ya Subaru Forester XT

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Wakuu mmeamkaje?

Binafsi naipenda sana subaru nikiionaga mtu road ana drive huwa naona wivu sana. Ndoto zangu ni kumiliki subaru forester XT hii gari naipenda sana. Najipanga ni import hio mashine from Japan.

Wataalam naombeni nondo kuhusu hio gari kwa anaejua shida yake na sifa za hio gari kwa ujumla. Sijataka kwenda google kwasababu wazungu ndo wana discus ila nimeleta humu Jf coz najua kuna watu wana miliki hio chombo.

IMG_2865.jpg

IMG_2864.jpg

IMG_2867.jpg

IMG_2866.jpg


Hio gari ina 1990cc tu.
 
Hamna bana ya JDM kuanzia 2008-2011 ina 148HP sema haina magonjwa magonjwa! Hii inatosha sana kusumbua hapo lami mzee.

Mie kwa 130HP nanyanyasa hivyo itakuwa hio Subaru!
Gari nitayonunua baada ya hii.. Haitokuwa chini ya 270HP.. 😄😄😄.. hizi sijui148HP na zifanazo na hizo basi tu pesa ndio mnoko,tunakosa utamu mwingi sana..
 
Gari nitayonunua baada ya hii.. Haitokuwa chini ya 270HP.. 😄😄😄.. hizi sijui148HP na zifanazo na hizo basi tu pesa ndio mnoko,tunakosa utamu mwingi sana..
Hahahah sahizi jamaa wamekuja na line ya GR! Gari zote wanazotoa sahizi zitakuwa na 260HP+

Wameanza na Yaris GR 267HP ila kuna Corrolla GR yenyewe itakuwa na 298HP yani hawataki tena kusikia Toyota mnaziita Soccer moms cars!
 
Hahahah sahizi jamaa wamekuja na line ya GR! Gari zote wanazotoa sahizi zitakuwa na 260HP+

Wameanza na Yaris GR 267HP ila kuna Corrolla GR yenyewe itakuwa na 298HP yani hawataki tena kusikia Toyota mnaziita Soccer moms cars!
Corrolla huwa nazielewa sana. Nishatumiaga moja, ya soko la ulaya.. ni nyoko ile gari, kuanzia suspension system yake na kwenye mwendo moto wake ilikuwa usipime.

Hapa kidogo nimepumua jamaa kaniambia ni cross sport nilikuwa nazidi kubadiri mawazo kichwani.. hii kidogo nasikia ina maana barabarani ..
 
Corrolla huwa nazielewa sana.. Nishatumiaga moja, ya soko la ulaya.. ni nyoko ile gari, kuanzia suspension system yake na kwenye mwendo moto wake ilikuwa usipime.. Hapa kidogo nimepumua jamaa kaniambia ni cross sport nilikuwa nazidi kubadiri mawazo kichwani.. hii kidogo nasikia ina maana barabarani ..
Cross Sports ndio ya ukweli kidogo hata muonekano wake mtamu zaidi! Itakuwa ya 2008 bila shaka!
 
Back
Top Bottom