Well. Binafsi napenda magari yenye fewer kms nikiwa nainunua.Sio kweli. Nina GX100 imeacha kusoma (speedometer imekufa) at 200k+ huko Hadi leo mashine jino moja tu inaitika naipaki bila kuigusa hata mwezi mzima,nilikuwa na Volvo nimeikata spares at 160k+ miles ambazo ni kama 260km sasa hivi nina Toyota nimeinunua from Japan ina 145,000km Hadi leo ina 151,000km tangu niinunue ni miezi 6 nasafiri nayo na huko njiani hakuna rangi wanaacha ona!
Nawaambia hivi usiogope km hizo ni namba tu gari body sio engine kama huamini jiulize kwanini engine ilala zinauzwa 1-2m kama gari ingekuwa engine? Sasa nenda katafute gari iliokufa engine kama utauziwa 1-2m.
Vipi kuhusu Kluger??Usibabaike chukua harrier yoyote
Chukua hata hiyo. Achana na hiyo XT. bora uchukue foresta oldVipi kuhusu Kluger??
No,nimeulizia kati ya Harrier au Kluger. Mana Harrier umesema haziko freshChukua hata hiyo. Achana na hiyo XT. bora uchukue foresta old
Sikusema haziko fresh. Harrier na Kluger zote sawa chagua tu muundo tu unaoutaka ila ni zilezile.No,nimeulizia kati ya Harrier au Kluger. Mana Harrier umesema haziko fresh
Ok.! NimekupataSikusema haziko fresh. Harrier na Kluger zote sawa chagua tu muundo tu unaoutaka ila ni zilezile.
FYI hizi used cars....una hatari zaidi ya kuuziwa fake mileage iwapo utanunua hizo zenye 50k kuliko anaenunua ya 100k+. Mbaya zaidi unaendesha huku unaamini ni 50k wakati kiukweli ni 150k. Wauzaji washajua akili za madereva wanaabudu digits kwahio wanaenda sawa nao. Hizo 40k,50k nyingi sana za uongo.Well. Binafsi napenda magari yenye fewer kms nikiwa nainunua.
Higher mileage ni near disposal.
Anaenunua gari na 50k km anapotential ya kutumia gari yake for the next 200k kms endapo ataitunza vizuri.
Ila mwenye kununua gari yenye 150k km sidhani ana potential ya kuendesha for the next 150k km bila cranks.
From Japan au hapa bongo?FYI hizi used cars....una hatari zaidi ya kuuziwa fake mileage iwapo utanunua hizo zenye 50k kuliko anaenunua ya 100k+. Mbaya zaidi unaendesha huku unaamini ni 50k wakati kiukweli ni 150k. Wauzaji washajua akili za madereva wanaabudu digits kwahio wanaenda sawa nao. Hizo 40k,50k nyingi sana za uongo.
Mkuu ile sura ya probox huwa inatisha sana![emoji1][emoji1][emoji1]
Kote.From Japan au hapa bongo?
Usibabaike chukua harrier yoyote
Sitegemei kukuta gari ya 2009 and below iwe na 50k kms. Hata kama zipo ni za kubahatisha sana.FYI hizi used cars....una hatari zaidi ya kuuziwa fake mileage iwapo utanunua hizo zenye 50k kuliko anaenunua ya 100k+. Mbaya zaidi unaendesha huku unaamini ni 50k wakati kiukweli ni 150k. Wauzaji washajua akili za madereva wanaabudu digits kwahio wanaenda sawa nao. Hizo 40k,50k nyingi sana za uongo.
Okay....sasa wenzio wananunua za 2006/7/8 zina 40k au 50k wanachekelea baada ya muda wanashangaa!Sitegemei kukuta gari ya 2009 and below iwe na 50k kms. Hata kama zipo ni za kubahatisha sana.
Ila kuna possibility kubwa gari ya 2015 na kuendelea ikawa na 60k kms.
Ninachosema ni kwamba,
Kununua gari yenye mileage above 100k ni sawa na ununue scraper. Majority ya parts zinakuwa zimechoka na ni ngumu kubadilisha zote huo ni uongo. Unachooneshwa ni rangi mpya ila huko chini kumeanza kuoza. Baada ya km 30k utaanza kulia kubadilisha parts.
Kuna gari zina mileage ndogo na service zinapata kwa wakati. Hata baadhi ya areas zinakuwa hazijachoka. Na kuna watu wengi wanauza magari yenye mileage ndogo bila utapeli. Wakati unaweza enda zaidi ya 100k bila major overhaul.
Nakubali mwamba! Mie gari yangu ni 200K+ ila iko njema mno kiasi kwamba huwezi dhani ina hizo kms! Gari ni matunzo tu!Sio kweli. Nina GX100 imeacha kusoma (speedometer imekufa) at 200k+ huko Hadi leo mashine jino moja tu inaitika naipaki bila kuigusa hata mwezi mzima,nilikuwa na Volvo nimeikata spares at 160k+ miles ambazo ni kama 260km sasa hivi nina Toyota nimeinunua from Japan ina 145,000km Hadi leo ina 151,000km tangu niinunue ni miezi 6 nasafiri nayo na huko njiani hakuna rangi wanaacha ona!
Nawaambia hivi usiogope km hizo ni namba tu gari body sio engine kama huamini jiulize kwanini engine ilala zinauzwa 1-2m kama gari ingekuwa engine? Sasa nenda katafute gari iliokufa engine kama utauziwa 1-2m.
Nani alikwambia tunanunua magari kwa madalali wenu?Daah madalali hua wakipata wasukuma wa dizaini yako hua wanafurahi kichizi.
Dah.. umenirudisha njiani mwanangu maana xt zilivyopondwa humu hadi nikawa nimekata tamaaNi kosa sana kununua gari kwa kuangalia watu wanasema nini,unaeza kuta anaekosoa unachotaka nunua yeye hana hata pikipiki,anaeleza matamanio yaliyojaa kisirani na nia ya tukose wote,nunua gari kulingana na matumizi unayotaka litumia na hela yako,
Kuna watu waliokuwa na level ya kumiliki ist waliingia mkumbo wa kutonunua sababu tu kuna mkuu alilewa sifa akazitusi,lkn ukweli ukabaki kuwa ist ni gari nzuri kwa maisha ya kawaida ya mtu wa kawaida na ni rahisi kulimudu,
Kuna mtu hela ya kuunga unga anataka nae eti kushindana kununua gari kwa fashion badala ya hali halisi na tumizi,wapo watu anaweza badili gari kila mwaka,utashangaa mwenzangu na Mimi nae anafuata mkumbo wa fashion wakati mfukoni miungo mitupu,
Nunua gari kulingana na matumizi,uchumi wako na mazingira,
Fashion acha akina ronaldo na myweather washindane huko.
Dah.. umenirudisha njiani mwanangu maana xt zilivyopondwa humu hadi nikawa nimekata tamaa
Hadi sasa kichwani nimepanga kununua xt lkn manual au escudo new model basi hayo mengine nawaachia ninyi.
Sent using Jamii Forums mobile app