Mkuu, the best way ni kucheki kupitia www.youtube.com
Nazijua baadhi ya nyimbo zake na huwa naangalia kupitia hiyo website ila sifahamu vizuri jinsi ya kukuwekea hapa JF.
Enjoy!
Mkuu, the best way ni kucheki kupitia www.youtube.com
Nazijua baadhi ya nyimbo zake na huwa naangalia kupitia hiyo website ila sifahamu vizuri jinsi ya kukuwekea hapa JF.
Enjoy!
Kaka, mbona madukani zipo. Tembelea maduka hasa yanayouza vitabu na kanda za Kikristo. Kama upo Dar nenda City Christian Bookshop, mtaa wa Mkwepu kama unatokea Posta mpya au Ilala TAG karibu na round about ya Uhuru/Msimbazi.