M Mndwyika.wetu JF-Expert Member Joined Jul 15, 2012 Posts 652 Reaction score 829 Dec 13, 2019 #1 Naweza kupata list ya mawakili wapya walioapishwa leo December 13 2019?
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Dec 13, 2019 #2 Mkuu unahisi jina lako lipo? Sent using Jamii Forums mobile app
BenKaile JF-Expert Member Joined Oct 17, 2014 Posts 443 Reaction score 375 Dec 14, 2019 #3 Mndwyika.wetu said: Naweza kupata list ya mawakili wapya walioapishwa leo December 13 2019? Click to expand... Mbona rekodi ya mawakili wa zamani na wanaoingia wapya unazikuta kwenye tovuti ya TLS online, fanya utaratibu utawaona na idaidi halisi kuwa Tanzania wamefikia mawakili wangapi kabla na baada ya uhuru mpaka hiyo list unayoitaka.
Mndwyika.wetu said: Naweza kupata list ya mawakili wapya walioapishwa leo December 13 2019? Click to expand... Mbona rekodi ya mawakili wa zamani na wanaoingia wapya unazikuta kwenye tovuti ya TLS online, fanya utaratibu utawaona na idaidi halisi kuwa Tanzania wamefikia mawakili wangapi kabla na baada ya uhuru mpaka hiyo list unayoitaka.