Naomba Penal Code, na Maboresho Yake Yote

Kimbori

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
6,112
Reaction score
4,540
Nimekuwa nikipata changamoto juu ya Penal Code, na maboresho yake yote yaliyofanywa na Bunge.
Hii itasaidia kwani maboresho hayo hayapo wazi kwa wengi. Hii inafanya watu kuona kana kwamba sheria ni dhaifu au zimepitwa na wakati.
Ahsante kwa atakayetusaidia.
 
ingia kwenye web hii, ndani yake utavipata vyote. mle ndani bofya kwenye downloads,ukiona kanuni ya adhabu au sheria nyingine yeyote ile bofya, zipo kweney pdf. bofya SHERIA KWA KISWAHILI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…