Haiondoi ukweli na wewe unajua kabisa, ktk haya mambo bado tunahitaji msaada wa mzungu. Haya ya tuna madaktari wamesomea ni kujifariji.
Ni wapi nimesema kila kitu? Wewe mwenzangu mwenye ubongo mpaka sasa umefanya nini? Hao watafiti wa Waafrika mpaka sasa wamefanya nini maana mpaka sasa PEP na ARV na majaribio mengine yanayojulikana ktk kutafuta mbinu yanafanywa na nchi za magharibi? Waafrika hao mnaowasema wamefanya nini mpaka sasa? Mimi ni shithole mwenye uelewa ktk hili. Nakuachia wewe sehemu inayobaki.we ndyo shithole kabisa.....kila kitu unataka akufanyie mzungu utadhani we hauna ubongo
Ni wapi nimesema kila kitu? Wewe mwenzangu mwenye ubongo mpaka sasa umefanya nini? Hao watafiti wa Waafrika mpaka sasa wamefanya nini maana mpaka sasa PEP na ARV na majaribio mengine yanayojulikana ktk kutafuta mbinu yanafanywa na nchi za magharibi? Waafrika hao mnaowasema wamefanya nini mpaka sasa? Mimi ni shithole mwenye uelewa ktk hili. Nakuachia wewe sehemu inayobaki.
Arv ni juhudi za nani? Kama una mgonjwa mwambie aache kunywa arv ndio utapata majibu ngonjera zimefikia wapi.haya hao wazungu wako mpaka sasa wamefanya nn ili kupata dawa inayotibu ukimwi zaidi ya ngonjera tu kila siku
Arv ni juhudi za nani? Kama una mgonjwa mwambie aache kunywa arv ndio utapata majibu ngonjera zimefikia wapi.