Ili ujiandae kisaikolojia kuingia ndani ya vidonge vya umbo hiloMbona vina umbo la jeneza
Iko hv, kuna ambao wanaumwa Tb, wanahara au wana ukurutu au wanaumwa unyafuzi huku tayari wakiwa wameathirika, hao huwa wanachanganyishiwa vidonge.Kuna vile vya brown sivioni yaan unakuta vipo mixer kuna brown na vyeupe inakuwa combo km karanga yenye ganda na uliovua ganda
Hatari sana. Wiki iliyopita kwa rafiki yangu nilidondosha simu hivyo betri ikadondokea chini ya stand ya friji. nilikuta kimoja chini ya friji kina maandishi dll kama niko sahihi. Mpaka leo sijamuuliza bado.Hapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
Hahaahah....mkuu utatafuta ugomvi na rafiki yako.Hatari sana. Wiki iliyopita kwa rafiki yangu nilidondosha simu hivyo betri ikadondokea chini ya stand ya friji. nilikuta kimoja chini ya friji kina maandishi dll kama niko sahihi. Mpaka leo sijamuuliza bado.
Kunywa vidonge kila siku maisha yote na misemo kama dawa za kurefusha maisha zinaharibu watu kisaikolojia.Hahahah
Yaani hazina tofauti na za dozi ya Thypoid.
Kesho nakutana nae, ninategemea kumuuliza.Hahaahah....mkuu utatafuta ugomvi na rafiki yako.
Ila waweza muuliza kiustaarabu tu...atakujibu
Kabisa....yaani zinawakosesha watu tumaini la kuishi.Kunywa vidonge kila siku maisha yote na misemo kama dawa za kurefusha maisha zinaharibu watu kisaikolojia.
Adadhali illi utoe dukudukuKesho nakutana nae, ninategemea kumuuliza.
Mzungu huyo huyo mnamtukana kuwa asiwaambie kitu wala asiwacommand kwenye njia za kupita kujiletea maendeleo, leo unamlaumu kutogundua dawa? Tuna madaktari wangapi Africa ambao wamesomea utafiti wa magonjwa na dawa, kwa nini mzungu? Nyinyi ndo mnatufanya tunaitwa shit hole.Hivi kweli mzungu kashindwa kabisa tengeneza tiba ya hii kitu? Au ndio kasema potelea mbali ugonjwa wa watu weusi huu maana haiingii akilini hizo PEP zafanya kazi ila HIV yenyewe wameshindwa.
Haiondoi ukweli na wewe unajua kabisa, ktk haya mambo bado tunahitaji msaada wa mzungu. Haya ya tuna madaktari wamesomea ni kujifariji.Mzungu huyo huyo mnamtukana kuwa asiwaambie kitu wala asiwacommand kwenye njia za kupita kujiletea maendeleo, leo unamlaumu kutogundua dawa? Tuna madaktari wangapi Africa ambao wamesomea utafiti wa magonjwa na dawa, kwa nini mzungu? Nyinyi ndo mnatufanya tunaitwa shit hole.
Madam hivi hua uko serious ?Asante mkuu
Naepukana na mbinu za kutongozwaMadam hivi hua uko serious ?
[emoji23]so unataka kufa na utamu wako ?Naepukana na mbinu za kutongozwa
HahahahaNaepukana na mbinu za kutongozwa
Yap[emoji23]so unataka kufa na utamu wako ?
Mkuu