Afrodenzi pole kwa mbavu zako dear!huku kwe2 zipo lakin zko mbal kweli mpaka utembee kwa miguu alafu upande baiskel alafu unapanda gari ndo unafka sa mi ntawezea wapi?Kokudo
Umenichekesha sana my dear..
Presha na hasira zinapungua sasa
Sasa my dear hizo studio bado Zippo kweli?
Afrodenzi pole kwa mbavu zako dear!huku kwe2 zipo lakin zko mbal kweli mpaka utembee kwa miguu alafu upande baiskel alafu unapanda gari ndo unafka sa mi ntawezea wapi?
LD mambooo!Kokudo mpendwa mambo vipi aisee!!! Dah mwazime mtu kamchina hapo upige picha umtumie. Au mwazime DA digital Camera upige fasta umtumie halafu umrudishie sawa eeh!!!
Afrodenzi pole kwa mbavu zako dear!huku kwe2 zipo lakin zko mbal kweli mpaka utembee kwa miguu alafu upande baiskel alafu unapanda gari ndo unafka sa mi ntawezea wapi?
Hahahha kokudo wewe unavituko sana dear
sasa hizo trip mmmmhhhbhh
Mpaka ufike huko si vumbi na jasho
hata hiyo picha uta taka kupiga kweli?
Hizo thanks mbona umezimwaga sana mkubwaa kunani?
Desidii mpenzi
Nimeipenda hii thread
na responds zake..
LD mambooo!
Mchna hana maana hata kidogo ngoja nimuazime DA digital yake vp khs pozi mana nimeshasahau.
Mi naona kama ndo dizaini hii ntaacha kabsa make mi maswala ya kuombana picha tena inabd leo nianze safari ya kwenda mjini cjui hata kuna umeme mana na mgao huu
Picha ya nini??mkiachana anazifanyeje??anachoma?au?Mimi nina albam nilichukua kwa demu wangu enzi hizo akiwa kidato cha 6 Azania nanilishapotezana naye kama miaka 16 hivi ila na mtafuta nimpe picha zake kwani hata my wife nilisha mwambia alikuwa rafiki yangu!!
Kakakiiza please rekebisha kidogo, demu wako alikuwa kidato cha 6 Azania? Something is not ok here.
Hizo thanks mbona umezimwaga sana mkubwaa kunani?