Desidii hujambo mpenzi?
Umekiuka makubaliano yetu. Mi nazihesabu tu....Haya nambie nani huyo mwenye bahati yake aliyekamata ya 6?
Babu is veeeeerrryyyy disappointed!
Kakakiiza please rekebisha kidogo, demu wako alikuwa kidato cha 6 Azania? Something is not ok here.
Haya dada Laway!!!
Love...nimeona mtu anapitisha BURA hapa mtaani sijui anaenda kuuza wapi lolSaita desii?
Love...nimeona mtu anapitisha BURA hapa mtaani sijui anaenda kuuza wapi lol
Nakwambia na kulvyo mbari kwe2 mmh mijasho mivumbi yote yangu
Ile itakuwa ni manguree ile picha tuliyopiga Imboru unajua iliungua si unakumbuka siku ile ulivyoshikwa hasira ukachoma vitu chumbani sasa na ile picha ilikuwemo mule ndaniHahaha lol
bura ipi dear
mangure au busa?
labda anaenda ku exchange na picha?
Nway kabla sijasahau
Naomba picha yako mpenzi...
Ningependa ile tuliyo piga kule Imboru..
hahaha lol
Sijakiuka Babu na wewe kunisema hadharani tena ndo mambo gani sasa si ungesubiri nirudi nyumbani ndo unambie kuna mtu kanifurahisha tu nikampatia ila haiendi kokote tena.
Mie mzima kabisa wewe unaendeleaje Babu??
Nimekumiss tu
Ile itakuwa ni manguree ile picha tuliyopiga Imboru unajua iliungua si unakumbuka siku ile ulivyoshikwa hasira ukachoma vitu chumbani sasa na ile picha ilikuwemo mule ndani
Ile camera tuliyonunua mwaka 90 si unajua ukipiga picha leo inabidi usubirie wiki moja ndio upate pichaOhhhh dear
Kweli hasira hasara
Hivi we bado unakumbuka ile siku
nway itabidi turudi tena Imboru tukapige nyingine
..
Sasa muazime Kokudo ile camera yako basi...
Ile ililoana wakati natoka gulion mvua ik2nyeshea hv hukubaki na negative?
Saita desii?
Hivi kama umenimisi kiukweli, Sehemu ya kunipata huijui eti eh?