Naomba Picha yako Mpenzi!

 
Ile camera tuliyonunua mwaka 90 si unajua ukipiga picha leo inabidi usubirie wiki moja ndio upate picha

Hahahahahahahah lol
Ile camera ulikuwa inakuumbua lakini
Uunakumbuka jinsi ulivyokuwa unaigeuza halafu unapiga
jicho lako mwenye.
hahaha lol..
good memories from 90s. .
 
Hii thread leo imekimbia kweli I hope Kokudo hatalalamika haijachangiwa page ya tatu saa hizi
 

Toa hiyo ya kumaliza standard 7, kwani si ina negative safisha nyinginyingi, ukiombwa tu gawa hizo. Picha yako hata kama ni ya siku nyingi inabadilisha sura?
 
Toa hiyo ya kumaliza standard 7, kwani si ina negative safisha nyinginyingi, ukiombwa tu gawa hizo. Picha yako hata kama ni ya siku nyingi inabadilisha sura?

Negative kasema ililoana na mvua akitokea gulioni
 
Afrodensi unanipa digital au picha yako?

My dear mie ntakupa camera
Lakini inabidi uchague
80s ile kila ukipiga unarewind
90s ile yakuweka machoni
00s km10 mbele bado unapiga picha..
Ile yenye kioo kikubwa..

Kuhusu picha yangu muombe TF anazo zote
 
Hii thread leo imekimbia kweli I hope Kokudo hatalalamika haijachangiwa page ya tatu saa hizi
Aaah desidii umeanza uchokoz mi ctaki unataka zifke mia nishindwe kuzimanage?
 
Ok nikukute wapi?ukinipa itabidi unifundishe kui2mia ok

Hilo siyo tatizo kwani naweza kukutumia hata kwa DHL...Ila hiyo habari nyingine mhhhhhh...Haitawezekana kwa jina la Babu wa Loliondo!!

Nitakutumia makaratasi usome na kujihudumia mwenyewe, sawa mdogo wangu?
 
Hilo siyo tatizo kwani naweza kukutumia hata kwa DHL...Ila hiyo habari nyingine mhhhhhh...Haitawezekana kwa jina la Babu wa Loliondo!!

Nitakutumia makaratasi usome na kujihudumia mwenyewe, sawa mdogo wangu?

DC kakimbia ha ha ha kumbe muoga hivyo pole
 
Jamani kama kuna mtu amenionea Desidii, naomba amwambie namtafuta eti.:focus:
 
Hilo siyo tatizo kwani naweza kukutumia hata kwa DHL...Ila hiyo habari nyingine mhhhhhh...Haitawezekana kwa jina la Babu wa Loliondo!!

Nitakutumia makaratasi usome na kujihudumia mwenyewe, sawa mdogo wangu?
Thawa mkubwa hakuna matata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…