Hela tu...Dah iv kwel jaman ndo tumefikia hukuu, itc okay pw cio kes, we unapendelea upew nn
KaogeeNa mimi nataka![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Daby anakusalimia,anadai kuwa amekumiss sana![emoji30]Kaogee
Ana wote wa humu ndani mkuu halafu siku zinavyozidi kwenda anazidi kupanda thamani kama hisa!Af hy Dady yule jamaa simuelew elew yy anawangap hum ndani,, km anabana rizik za watu vilee ee
Mie nina wangu peke yanguAna wote wa humu ndani mkuu halafu siku zinavyozidi kwenda anazidi kupanda thamani kama hisa!