chrissleon
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 147
- 89
Wakuu kama uzi unavyo sema hapo juu imenibidi niombe radhi maana nimeingia kwenye kaya ya JF na kutembelea vyumbani bila kubisha hodi na kukaribishwa na wenyeji ili wanipe utaratibu wa kuishi kwenye KAYA yao.
Naomba munipokee kwa mikono miwili na munipe utambulisho wa kaya yenu.
Naomba munipokee kwa mikono miwili na munipe utambulisho wa kaya yenu.