Salamu naomba kama kuna mtu anaweza nipatia ramani za nyumba au Bure nichague! au nipe hata web site niwekee! NNajua kuna watu watansema vibaya mshindwe!
Ahsante kamnda! ngoja nicheki
Salamu naomba kama kuna mtu anaweza nipatia ramani za nyumba au Bure nichague! au nipe hata web site niwekee! NNajua kuna watu watansema vibaya mshindwe!
mimi kiwanja changu ni sqm 610 je naweza kujenga nyumba humo?