Wewe Km nani?Hatuwezi kufuta kamweee
Wewe kama naniHatuwezi kufuta kamweee
Anajibugi kwa kujiamn utazani nnchi hii kaizaaWewe kama nani
Ni 0.03% ya mapato yoteUsipotoshe Umma, hakuna makadirio kwenye hotel levy katika ngazi ya Halmashauri, inalipwa 10% ya mauzo kulingana na vitanda vilivyotumika, hapo rushwa inatoka wapi?
Kanatumika sana haka katotoAnajibugi kwa kujiamn utazani nnchi hii kaizaa
Hii ni service levy...mtoa mada anazungumzia hotel levyNi 0.03% ya mapato yote
we nae hebu jifunze kupita kimya kimya saa nyingine. Maskini ya Mungu pengine hata hujui hiyo hotel levy ni nini, lakini kwa vile umejitia mahaba upofu wa kuisifia CCM basi na wewe ushajiona mmoja wa watoa maamuzi. Eti hatufuti kamwee, wewe na nani. NyambaafHatuwezi kufuta kamweee
kanajitumisha. Hakuna yeyote anaemjua. Anaenda kuhaha kutafuta jero za bando kuja kuuza jina huku kwa matumaini ataonekana.Kanatumika sana haka katoto
If uko VAT registered..otherwise ni 10% ya mapato..ila kama una lodge with less than vyumba vinne kama sikosei hulipiNi 0.03% ya mapato yote