Naomba serikali iwasaidie ndugu zetu wa omba omba

Naomba serikali iwasaidie ndugu zetu wa omba omba

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
05_10_67c9ja.jpg


Omba Omba maarufu, Athony Matonya akipita katika daraja la Shani, mjini Morogoro huku akiomba kwa wakazi wa mji huo kama alivyokutwa jana. Ombaomba huyo alishawahi kuwa gumzo katika jiji la Dar es Salaam kutokana na kufukuzwa mara kwa mara na mamlaka za jiji. (Picha na John Nditi).
 
hawawasadii walipa kodi itakuwa omba omba!
 
Hivi hawa omba omba wana haki ya kuwa mjini/Mijini? Je tusipowapa hivyo vijisenti watarudi makwao? Tena kunawengine wanakera sana sana unakuta mama amekaaa pembeni ya barabara anatuma watoto wadogooo! waombe pesa.

Je Kuwanyima hawa ni Dhambi?
 
Hivi hawa omba omba wana haki ya kuwa mjini/Mijini? Je tusipowapa hivyo vijisenti watarudi makwao? Tena kunawengine wanakera sana sana unakuta mama amekaaa pembeni ya barabara anatuma watoto wadogooo! waombe pesa.

Je Kuwanyima hawa ni Dhambi?[/QUOTE]
KUTOA NI MOYO LAKINI KUMBUKA ZAKA NA SADAKA KAMA ILIVYOUSIWA KATIKA LILE FUNGU ALIOKURUZUKU NALO MUNGU.
 
Back
Top Bottom