Naomba shauri kuhusu Vyuo vya Ufundi

tzhumoally

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
412
Reaction score
156
Natanguliza shukran.. mdogo amemaliza form 4 mwaka huu na kupata b+ nne na B moja na C 4 ambazo B+ ni za phy, chem, biol na math,alikua ana hamu ya kusoma chuo cha ufundi badala ya advance.

Sasa naomba mnijuze kuna njia gani nifanye ili apangiwe chuo cha ufundi moja kwa moja.
 
Subir Nafax Zitoke Aende Kuaply ,kama, Dit, Must,wdmi,atc,nk, Au Nenda Wizaran Pale Atabadilishiwa Badala Ya Advance Atawekewa Chuo
 

Kwani alijaza nini wakati wa kujaza zile form? Angeanza chuo halafu akamaliza na Advance. Miaka yetu mimi nilifanya hivyo kwani ilikuwa ni dhamira yangu kupitia ufundi moja kwa moja!
 
Subir Nafax Zitoke Aende Kuaply ,kama, Dit, Must,wdmi,atc,nk, Au Nenda Wizaran Pale Atabadilishiwa Badala Ya Advance Atawekewa Chuo

alijaza advance then vyuo but now ndio tumeamua bora aende chuo..but akiapply hvyo vyuo ulivyotaja c itakua ni private sasa?
 
Kwani alijaza nini wakati wa kujaza zile form? Angeanza chuo halafu akamaliza na Advance. Miaka yetu mimi nilifanya hivyo kwani ilikuwa ni dhamira yangu kupitia ufundi moja kwa moja!

alianzia advance ndio akamalizia vyuo..sasa ndio tumegundundua bora tu apitie chuo kwanza
 
Subir post zitoke then zikishatoka aende wizaran fasta!! Askate tamaa kwan kubadilisha kutoka advance kwenda chuo huwa ngumu kidgo!! Namkaribisha sana chuo cha maji ubungo(wdmi)
 
Subir post zitoke then zikishatoka aende wizaran fasta!! Askate tamaa kwan kubadilisha kutoka advance kwenda chuo huwa ngumu kidgo!! Namkaribisha sana chuo cha maji ubungo(wdmi)

naomba namba yako kaka..na hapo ndio target hasa..ikishindikanika atasoma hata private?plz naomba unisaidie namba zako
 
Kwani alijaza nini wakati wa kujaza zile form? Angeanza chuo halafu akamaliza na Advance. Miaka yetu mimi nilifanya hivyo kwani ilikuwa ni dhamira yangu kupitia ufundi moja kwa moja!

bro chaza naomba unishauri na vipi akienda kule ardhi institute ya tabora akafanye up to diploma ya geomatics?hii diploma ya geomatics anaweza kupata sehemu ya kujishughulisha?au unanishauri course gan nzur kwa ngazi ya diploma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…