Nakumbuka wakati fulani Mh.Waziri wa ardhi alitamka kwamba majengo ambayo hayajakamilika na hayatumiki kwa makazi hayalipiwi kodi, pia nilisikia Mmiliki wa Nyumba mwenye umri zaidi ya 60 pia hatakiwi kulipa kodi lakini pamoja na kumbukumbu zangu hizo leo nimeletewa barua ya madai ya kulipa kodi ya jengo wakati jengo langu hatakuezeka sijaweza! Mbaya zaidi wamempelekea mama yangu barua kama hiyo ambaye ni mjane na ni mzee wa miaka 70 ! Naombeni authority ili nijaribu kujinasua na kadhia hii.