Naomba sifa za wanaume wa wakipogoro

Masikini, lazima pia ujiandae na surprises!!
pole we!!
kama unamind kabila, kwa nini ujitafute kabila lako? au ni wabaya zaidi?
Anyway, wewe cheka tu na hizi posts, ila useinclude kwenye mazungumzo yenu wakati mnatofautiana, mfano
''......leo nimprove, waliniambia JF, nikadhani wanatania, ........"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…