Clueless, hako kapicha no were mwenyewe? Dizain kama nakuelewa vile...Fanya mpango wa kuoata dentures tu.
Acha vyakula vya sukari,
Tumia dawa ya meno Sensodyne, na Listerine mouthwash all the time.
Na miaka kama 7 situmii hivyo vitu ila sielewi nini shidaacha kula vyakula vya sukari na kama ukitumia ndani ya dakika 20 upige mswaki
Mfano wa vyakula vya sukani ni biscuit(hasa hasa hapa pa biscuit), pipi, candy, keki na the like
Sensodyne ndio natumia siku zote na vyakula vya sukari situu kabisa ata kwenye juice naweka kwa mbali saanaFanya mpango wa kuoata dentures tu.
Acha vyakula vya sukari,
Tumia dawa ya meno Sensodyne, na Listerine mouthwash all the time.
Tatizo ni ratiba yako ya kupiga mswaki.. Mara nyingi meno yetu yanakua masafi ndani ya nusu saa kwa siku nzimu muda mwingine wote meno yanakua ni machafu,kwa staili hiyo lazima ung'oe meno...please nisubiri kidogo nitakuja kukupa ratiba nzuri ili kuyaokoa meno yakoSensodyne ndio natumia siku zote na vyakula vya sukari situu kabisa ata kwenye juice naweka kwa mbali saana
Unanyota yaubogoyoHabari wa kuu, nimesha ngo'a meno 3 na sasa mawili tena yameliwa, mawili nimeziba, naona sasa nitapoteza yote naomba mwenye kujua tiba kamili na yenye mafanikio tafadhali.
Na miaka kama 7 situmii hivyo vitu ila sielewi nini shida
Meno yanaoza au vip? Njoo inbox nikupe dawaHabari wa kuu, nimesha ngo'a meno 3 na sasa mawili tena yameliwa, mawili nimeziba, naona sasa nitapoteza yote naomba mwenye kujua tiba kamili na yenye mafanikio tafadhali.