Spinster
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 487
- 138
Habari wakuu,
Naomba msaada kujua kuhusu post graduate diploma in education. Nmemaliza chuo mwaka huu na nataka kuunganisha nisome post graduate, naomba ushauri je chuo gani naweza kusoma na ningependa kiwe Dar ili iwe rahisi maana huku ndio nafanya shughuri zangu za biashara. Je naweza kupata nafasi DUCE au UDSM kwa wakati huu mana nmetembelea web ya DUCE wameshatoa selection.
Kwa wale wanaojua je selection zikishatoka huwa hamna nafac kwa waliochelewa kuaply.
Msaada tafadhari.
Naomba msaada kujua kuhusu post graduate diploma in education. Nmemaliza chuo mwaka huu na nataka kuunganisha nisome post graduate, naomba ushauri je chuo gani naweza kusoma na ningependa kiwe Dar ili iwe rahisi maana huku ndio nafanya shughuri zangu za biashara. Je naweza kupata nafasi DUCE au UDSM kwa wakati huu mana nmetembelea web ya DUCE wameshatoa selection.
Kwa wale wanaojua je selection zikishatoka huwa hamna nafac kwa waliochelewa kuaply.
Msaada tafadhari.