Naomba tafsiri sahihi na ya kweli ya maandishi haya

Naomba tafsiri sahihi na ya kweli ya maandishi haya

Asa'rile

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2012
Posts
438
Reaction score
120
Weingi wanadai ni namba 666 ikimaanisha Mpinzani wa mambo ya Mungu (antChrist) au Mpinga kristo.
Aidha wapo wanaosema kuwa Alama hizi ni za Agent-Wakala maalum kutoka mashimoni,
sasa mie nshavurugwa mie
 

Attachments

  • pope.jpg
    pope.jpg
    10.5 KB · Views: 710
Jifunze unaamini nini, ukiona unachoamini kinakukwaza hamia kwingine.
 
haya mambo yana wenyewe....ngoja waje tujifunze...!
 
bible is right let work th bible not judging. timiza wajibu wako wa kueneza kwa unaofaa na usiofaa cyo kila kukicha unalaumu na kutuhmu wa2 na wakati lile jambo la kheri() kueneza injili haulifanyi? hakika yetu watu wajue kwel halisi
 
bible is right let work th bible not judging. timiza wajibu wako wa kueneza kwa unaofaa na usiofaa cyo kila kukicha unalaumu na kutuhmu wa2 na wakati lile jambo la kheri(jema) kueneza injili haulifanyi? hakika yetu watu wajue kwel halisi
 
Kama ujui ujui tu na ungekua mkristo wa kweli usinge uliza naiyo picha unaijua kwel ww
 
Back
Top Bottom