CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Child act, 2009, SECTION 36 reads: Where the court has made an order on a biological father, such biological father shall assume the responsibility to the child in the same manner as may be in respect of a child born in wedlock and the child shall, subject to religious belief of the biological father, have such other rights devolving from the parent including a right to be an heir.
Je kifungu hicho hapo juu, kinapingana na sheria ya Sheria ya urithi ya India ya 1865 (ya serikali) inayosema: Kwa mujibu wa sheria hii watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi isipokuwa kama kuna wosia na katika wosia huo wawe wamerithishwa mali.
Au sheria za kimila/ kidini zinazokataza mtoto wa nje ya ndoa kurithi! Hapo penye red tafsiri yake ni ipi?
Ni sheria ipi ita-prevail- ya kimila itawekwa kando, je hiyo ya India maana inatumika hapa!
Je kifungu hicho hapo juu, kinapingana na sheria ya Sheria ya urithi ya India ya 1865 (ya serikali) inayosema: Kwa mujibu wa sheria hii watoto wa nje ya ndoa hawana haki ya kurithi isipokuwa kama kuna wosia na katika wosia huo wawe wamerithishwa mali.
Au sheria za kimila/ kidini zinazokataza mtoto wa nje ya ndoa kurithi! Hapo penye red tafsiri yake ni ipi?
Ni sheria ipi ita-prevail- ya kimila itawekwa kando, je hiyo ya India maana inatumika hapa!