Naomba tafsiri ya maneno yafuatayo kwa kiingereza

Naomba tafsiri ya maneno yafuatayo kwa kiingereza

GANG MO

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
2,092
Reaction score
2,210
Wadau wa lugha naombeni maana ya neno yafuatayo kwa kiingeleza

1. Ukanushi
2. Yakinishi

sent using [emoji85]
 
1. Ukanushi-DENIAL
2. Yakinishi????? you mean PROBABLE, yaani yamkini?
Nimeona sehemu pameandikwa

Nitakula (uyakinishi)
Sitakula (ukanushi)

Sasa uyakinishi ni nini kwa kiingeleza?

sent using [emoji85]
 
Nimeona sehemu pameandikwa

Nitakula (uyakinishi)
Sitakula (ukanushi)

Sasa uyakinishi ni nini kwa kiingeleza?

sent using [emoji85]

Siyo kiswahili sanifu sana, possibly ni cha wenzetu wa-Kenya hao! Naona kama niko sahihi vile nilivyokujibu, au?
 
Wadau wa lugha naombeni maana ya neno yafuatayo kwa kiingeleza

1. Ukanushi
2. Yakinishi

sent using [emoji85]
kiingeleza = kiingereza

Ungeanza kwa kujifundisha kuandika Kiswahili kwanza.


Hizi R na L nnaelewa kuwa wengi mna shida ya kuzitamka basi hata kuziandika?

Ni shule mlizosoma ziliwafundisha ujinga au ni ujinga wa kuzaliwa?
 
kiingeleza = kiingereza

Ungeanza kwa kujifundisha kuandika Kiswahili kwanza.


Hizi R na L nnaelewa kuwa wengi mna shida ya kuzitamka basi hata kuziandika?

Ni shule mlizosoma ziliwafundisha ujinga au ni ujinga wa kuzaliwa?
[emoji23][emoji23][emoji23] ok turudi kwenye swali langu basi

sent using [emoji85]
 
Nimeona sehemu pameandikwa

Nitakula (uyakinishi)
Sitakula (ukanushi)

Sasa uyakinishi ni nini kwa kiingeleza?

sent using [emoji85]
Nahisi ni matumizi ya maneno 'Will' - uyakinishi na 'Won't' - ukanushi.
 
Back
Top Bottom