Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Amani iwe nanyi wakuu.
Leo nimeota nipo kwenye tamasha la muziki natumbuiza. Baadae nikaota niko tafrija ya mziki. Baadae tena nikaota nakula chakula.
Naomba mnisaidie nini maana ya Ndoto hizi
Asanteni sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimeota nipo kwenye tamasha la muziki natumbuiza. Baadae nikaota niko tafrija ya mziki. Baadae tena nikaota nakula chakula.
Naomba mnisaidie nini maana ya Ndoto hizi
Asanteni sana
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app