Naomba TANROADS waweke bango la kuelekea watumia barabara badala ya kujitangaza wao

Naomba TANROADS waweke bango la kuelekea watumia barabara badala ya kujitangaza wao

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
862
Reaction score
871
Nimeona mabango mengi yaliyowekwa na TANROADS kwa ajili ya tahadhari yanatanguliwa na maneno yenye herufi kubwa yahusuyo TANROADS badala ya kujikita kwenye kutoa tahadhari.

Naomba wafikirie kuandika au kuweka maneno na michoro ya kutoa tahadhari badala ya wao kujitangaza.

Hii ina maana kuwa bango linajaa maneno mengi yasiyohitajika.
Namaanisha maneno yahusuyo TANROADS hayatoi tahadhari.

Iwapo inaonekana ni lazima jina au neno lao liwepo basi nashauri liwekwe chini kwa maandishi madogo.
IMG_20220928_140114_639.jpg
IMG_20220928_140112_703.jpg
 
Nimeona mabango mengi yaliyowekwa na TANROADS kwa ajili ya tahadhari yanatanguliwa na maneno yenye herufi kubwa yahusuyo TANROADS badala ya kujikita kwenye kutoa tahadhari.

Naomba wafikirie kuandika au kuweka maneno na michoro ya kutoa tahadhari badala ya wao kujitangaza.

Hii ina maana kuwa bango linajaa maneno mengi yasiyohitajika.
Namaanisha maneno yahusuyo TANROADS hayatoi tahadhari.

Iwapo inaonekana ni lazima jina au neno lao liwepo basi nashauri liwekwe chini kwa maandishi madogo.View attachment 2387389View attachment 2387392
Isomeke kuelekeza badala ya kuelekea.
 
Back
Top Bottom