Ipi njia bora na inaokoa gharama kuweka mkandarasi au kuwatumia mafundi wa kawaida ktk ujenz wa nyumba?? Kwasababu ktk mafundi wa kawaida suala la usimamiz linanipa shida kwakuwa mm mwenyew sio mkaaji wa sehem ninayotaka kujenga. Naomba ufafanuzi wenu