Naomba tofauti ya Suzuki Swift new model vs Old Model

Naomba tofauti ya Suzuki Swift new model vs Old Model

IsaacMG

Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
79
Reaction score
105
Habari zenu Wana ndugu nina mpango wa kumiliki Suzuki swift ila sasa nimeshindwa kufanya chaguo sahihi kati ya hizi new model toleo la 2006/8 na zile za kawaida za zamani.

Naomba kujua kwa wenye uelewa na magari, ipi nichukue ambayo ni Bora, imara, stahimilivu na inayotumia mafuta kidogo.

Asanteni sana.
 
Unayosema ww new model ni second generation.
1280px-2010_Suzuki_Swift_(RS415)_5-door_hatchback_(2018-10-30).jpg
Swift new model ni 4th generation.
Suzuki_Swift_(2024)_hybrid_IMG_8820.jpg


Ukitaka SS nashauri tafuta SS-Sport, iyo 2nd gen ukiagiza total unapata below 15m.

Ila kabla haujafanya maamuzi, ebu fanya uangalie Honda Fit. Ni more reliable.
 
Okay, kwahiyo unaongelea hii 1st gen:
Suzuki_Swift_001_(cropped).jpeg

Against hii walioibadirisha kuanzia 2004, second gen.
1280px-2010_Suzuki_Swift_(RS415)_5-door_hatchback_(2018-10-30).jpg

Lazima 2nd gen itachukua point kwa kila sector kasoro ground clearance tu
 
  • Thanks
Reactions: I M
Ndio nndio mkuu namanisha kati ya hizo mbili ipi Bora kuliko nyingine.
 
Back
Top Bottom