IsaacMG
Member
- Dec 6, 2019
- 79
- 105
Habari zenu Wana ndugu nina mpango wa kumiliki Suzuki swift ila sasa nimeshindwa kufanya chaguo sahihi kati ya hizi new model toleo la 2006/8 na zile za kawaida za zamani.
Naomba kujua kwa wenye uelewa na magari, ipi nichukue ambayo ni Bora, imara, stahimilivu na inayotumia mafuta kidogo.
Asanteni sana.
Naomba kujua kwa wenye uelewa na magari, ipi nichukue ambayo ni Bora, imara, stahimilivu na inayotumia mafuta kidogo.
Asanteni sana.