Naomba tofauti ya Suzuki Swift new model vs Old Model

IsaacMG

Member
Joined
Dec 6, 2019
Posts
79
Reaction score
105
Habari zenu Wana ndugu nina mpango wa kumiliki Suzuki swift ila sasa nimeshindwa kufanya chaguo sahihi kati ya hizi new model toleo la 2006/8 na zile za kawaida za zamani.

Naomba kujua kwa wenye uelewa na magari, ipi nichukue ambayo ni Bora, imara, stahimilivu na inayotumia mafuta kidogo.

Asanteni sana.
 
Unayosema ww new model ni second generation. Swift new model ni 4th generation.


Ukitaka SS nashauri tafuta SS-Sport, iyo 2nd gen ukiagiza total unapata below 15m.

Ila kabla haujafanya maamuzi, ebu fanya uangalie Honda Fit. Ni more reliable.
 
Okay, kwahiyo unaongelea hii 1st gen:

Against hii walioibadirisha kuanzia 2004, second gen.

Lazima 2nd gen itachukua point kwa kila sector kasoro ground clearance tu
 
Reactions: I M
Ndio nndio mkuu namanisha kati ya hizo mbili ipi Bora kuliko nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…