ujauzito umenibadili si tu maumbile ya mwili bali na hisia mwanzoni sikuwa na wivu kiasi hichi kwa mume wangu lakini tangu nipata ujauzito nimekuwa na wivu sana na nampenda sana mume wangu, najitahidi niushinde lakini wapiii, inafika wakati nahisi namboa huyu baba kijacho, wenzangu ilikuwaje?