Uzoefu wangu niliona hayo ni mabadiliko ya hormone wakati wa ujauzito,wengine unakuta wanakuwa na hasira,wana tapika au kichefuchefu,wanakuwa na hamu sana kumega mkate(tendo la ndoa) au hamu kupungua kabisa kuliko wakati wakiwa hawana ujauzito,kupenda sana and viceversa.tabia hizi zinaweza kuisha kadri mimba inavyoendelea kukua au ikaisha pindi mwanamke ajifunguapo.
Chukulia ni hali ya kawaida itaisha.