Naomba tuelimishana kuhusu dagaa wanaofaa katika chakula cha kuku

Naomba tuelimishana kuhusu dagaa wanaofaa katika chakula cha kuku

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Habari bandugu! Naomba wanaoelewa wanielimishe kuhusu dagaa wanaofaa kuchanganywa kwenye chakula cha kuku kati ya wale wanaotoka ziwa Victoria na wale wanaovuliwa baharini.
 
93% ya member humu ni waajiriwa na 7% ni wakulima na wafugaji na miongoni mwa hao 7% ni wewe tu ndio upo online wenzako wapo shamba na wengne wanachunga mifugo.
 
Dagaa wa ziwa lolote ni wazuri kwa kuku mayai japo wale (dagaa - bahari) maji chumvi kwa kuku wanyama ni bora sana. Pili, inategemea na mahali ulipo, wapi utawapata kwa urahisi na kwa bei nafuu, na mara kwa mara. Zingatia, unachotafuta ndani ya hao dagaa ni wingi wa protini hivyo wawe ni wa ziwa; Tanganyika( bei ghali), Nyasa au Victoria na kadhalika sawa tu. Ufugaji mwema.
 
93% ya member humu ni waajiriwa na 7% ni wakulima na wafugaji na miongoni mwa hao 7% ni wewe tu ndio upo online wenzako wapo shamba na wengne wanachunga mifugo.
Mi mwenyewe mwajiriwa jombaa! Usijitusu kwa watu usiowafahamu
 
Dagaa wa ziwa lolote ni wazuri kwa kuku mayai japo wale (dagaa - bahari) maji chumvi kwa kuku wanyama ni bora sana. Pili, inategemea na mahali ulipo, wapi utawapata kwa urahisi na kwa bei nafuu, na mara kwa mara. Zingatia, unachotafuta ndani ya hao dagaa ni wingi wa protini hivyo wawe ni wa ziwa; Tanganyika( bei ghali), Nyasa au Victoria na kadhalika sawa tu. Ufugaji mwema.
Nimekupata, asante!
 
Back
Top Bottom