Naomba tume ya tcu ifike college of informatics udom

Naomba tume ya tcu ifike college of informatics udom

papachu

Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
29
Reaction score
1
Unajua matatizo ya college of informatics udom ni mengi nimeonana na wanachuo wa college ya informatics wameeleza matatizo yao mengi sana likiwemo la wenzao kila mwisho wa mwaka wapatao 70 hufeli na kurudi nyumbani kwa kile kitendo cha kufeli kinachotokana na ufundishaji mbovu chuoni hapo utakuta kozi ya miezi minne inafundishwa kwa siku tano tena na mkufunzi toka chuo kikuu cha udsm,je ni aina gani wa watahalamu tunatoa kwa kozi kusoma siku tano
Unajua chuoni hapo wanachuo wanadai kufundishwa na wakufunzi wasio na sifa linganishi kwani wengi wao ni wanafunzi wanao soma mastars chuoni hapo je tangu lini mkufunzi msaidizi akakabiziwa kozi,naomba TCU ifike chuoni hapo na ifuatilie swala zima la elimu linalotolewa chuoni hapo aiwezekani kozi inawanafunzi 400 wanafaulu katika hiyo kozi 75 na hao wengi wao wanafahuru kwa ufahulu wa daraja C na wengine inawalazimu warudie kozi
Naomba TCU ifike chuoni hapo
 
Unajua matatizo ya college of informatics udom ni mengi nimeonana na wanachuo wa college ya informatics wameeleza matatizo yao mengi sana likiwemo la wenzao kila mwisho wa mwaka wapatao 70 hufeli na kurudi nyumbani kwa kile kitendo cha kufeli kinachotokana na ufundishaji mbovu chuoni hapo utakuta kozi ya miezi minne inafundishwa kwa siku tano tena na mkufunzi toka chuo kikuu cha udsm,je ni aina gani wa watahalamu tunatoa kwa kozi kusoma siku tano
Unajua chuoni hapo wanachuo wanadai kufundishwa na wakufunzi wasio na sifa linganishi kwani wengi wao ni wanafunzi wanao soma mastars chuoni hapo je tangu lini mkufunzi msaidizi akakabiziwa kozi,naomba TCU ifike chuoni hapo na ifuatilie swala zima la elimu linalotolewa chuoni hapo aiwezekani kozi inawanafunzi 400 wanafaulu katika hiyo kozi 75 na hao wengi wao wanafahuru kwa ufahulu wa daraja C na wengine inawalazimu warudie kozi
Naomba TCU ifike chuoni hapo

Kijana wacha longo longo..kaa chini chapa shule! Sisi tuliosoma shule za kata..tuna uzoefu zaidi. By the way I give you an example. Mimi nilipenda sana kuwa mwanasayansi. Ila I failed mathematics terribly. Form four..hesabu tulifundishwa topic nne tuu! na jamaa alikuwa kama liza form six! Darasa la watu 70...waliopata C ni mmoja, D, 3, the rest tulipata F! Upo? My dreams were shattered. Lakini, nikaamua kujipinda pale nilipoona kuna unafuu wa walimu (shule nzima graduate alikuwa ni Head master!). Anyway, sikukataa tamaa..and I can proudly tell you..my efforts za kusoma mpaka asubuhi (by the way hatukuwa na tuition yoyote) kwa taa ya chemli paid off VERY WELL! . The moral of the story is..learn to conquer your environment. Kama walimu hawafundishi..deal na uongozi wa shule..muwekane sawa. After all, kwani unapewa elimu bure?

Ila sikushauri...ulalamikie kiwango cha elimu baada ya kufeli. How will we know kwamba ulikuwa unasoma? Elimu yetu bongo ni ngumu. Hilo halina ubishi. Lakini Inabidi uwe na extra brain kuyakabili mazingira. Usiwe mtu wa kulalamika tuu. By the time TUC wanakuja wewe utakuwa ulishafeli uko kwenye mchakato mwingine....either kuipigia kampeni CCM kijijini kwako au....kwingineko...
 
Back
Top Bottom