Naomba tumjadili Aziz Ki

Naomba tumjadili Aziz Ki

Kwa mechi ya jana amecheza vizuri ili tumpe mida azooe ndio tuje tumjadili, bado mapema sana mdau
 
Aziz ki ni mtu na nusu aisee, mchezaji mzuri auhitaji muda kumjua ata kama ni mgeni, tumeshamuona akiwa na Asec mimosas na hapa nafikiri bado ajaonyesha ata 50% ya kiwango chake halisi nafikiri akishaelewana na wenzake vizuri atakuwa ni moto wa kuotea mbali, mchezaji kufatwa na timu Kama pyramid ya misri ujue yaliyomo yamo kwa maana wale wanao mascauti wanaowajua wachezaji wazuri, Tshabalala kapigwa tobo akabaki ameduwaa Kama vile ajielewi🤣🤣
 
Jana game ilimkubali tu mimi naona wa kawaida kama angekuwa mzuri sana timu ya Austria ingemnunua yeye kwa bilioni 3 badala ya Karim Konate
 
Jana game ilimkubali tu mimi naona wa kawaida kama angekuwa mzuri sana timu ya Austria ingemnunua yeye kwa bilioni 3 badala ya Karim Konate
Kwani ukikubali ni mzuri utapungukiwa nini?..Kwani hiyo timu inasajili wachezaji wote wazuri duniani?.
 
Aziz Ki. Sakho..Mayele....hata Belgium wanacheza Kama sio France
Wewe una jicho la kiufundi kwenye mpira, unajua Kuna wachezaji wanaokuja kucheza Hulu bahati mbaya tu. Uhalisia walipaswa kuwa Europe zamani. Anyway yote mipango yake Mola.
 
Hata bwalya alivyokuja simba alikuwa hvyo hvyo kabla mkude hajampeleka magomeni na ikawa historia
 
Back
Top Bottom